Msaada wa laini ya airtel

Mzux D

Member
Dec 8, 2010
15
0
Habari wanajamvni? leo naombeni msaada kwa jinsi gani naweza kufungua intaneti kwenye laini ya airtel tena haina GPRS/EDGS, nimejaribu kutuma intaneti kwenda 15444 bila jibu.
 
Mkuu hapo sija kusoma kabisaaaaa.
Kitu unachoongelea ni kama aina ya simu yako ndio inagoma na sio sim card ya airtel.
Kwani unatumia simu ya aina gani mkuu?.
Au unamaanisha internet kupitia modem ya airtel?
 
jaribu hii, tuma neno INTERNET kwenda 232 kisha utatumiwa mpangilio, save
 
kwa cm aina yako inauwezo wa internet uwawanaku2mia wenyewe pindi uwekapo line ebu jaribu kufanya factoryseting alafu weka line mkuu
 
Una simu gani? Tafuta mtu mwenye Airtel internet kwenye simu yake, ingia settings za internet copy data za humo ndani.

Ingia kwenye settings za internet simu yako dumbukiza settings, kwisha kazi.
 
Habari wanajamvni? leo naombeni msaada kwa jinsi gani naweza kufungua intaneti kwenye laini ya airtel tena haina GPRS/EDGS, nimejaribu kutuma intaneti kwenda 15444 bila jibu.
Tatizo sio wewe tu wapo wengi sana toka 31/12/2010 watuwengi wamepata usumbufu na internet ya airtel. binafsi nilipata usumbufu huo nikafikiri labda pengine ni ile siku ya deadline ya kusajili. nikatumia line ya wife ikakubali na haikuwa registered( hakuwa imesajiliwa) siku ya jtatu siku tulipoanza rasi kazi nikakutana na watu wengine wenye problems hizohizo wapo ambao wamesajiliwa na wanapata usumbufu huo na wapo ambao hawajasajiliwa na zinafanya kazi bila problem. kwahiyo tatizo sio kusajili tatizo lipo huko airtel. ukipiga simu kastama kea hao wanaopokea nafkiri hawana taarifa ya haya matatitzo. sometimes matatizo yanatokana na uzembe wa mainjinia so inakuwa ngumu wao kutoa taarifa kama kuna uzembe kwao.
 
Tatizo sio wewe tu wapo wengi sana toka 31/12/2010 watuwengi wamepata usumbufu na internet ya airtel. binafsi nilipata usumbufu huo nikafikiri labda pengine ni ile siku ya deadline ya kusajili. nikatumia line ya wife ikakubali na haikuwa registered( hakuwa imesajiliwa) siku ya jtatu siku tulipoanza rasi kazi nikakutana na watu wengine wenye problems hizohizo wapo ambao wamesajiliwa na wanapata usumbufu huo na wapo ambao hawajasajiliwa na zinafanya kazi bila problem. kwahiyo tatizo sio kusajili tatizo lipo huko airtel. ukipiga simu kastama kea hao wanaopokea nafkiri hawana taarifa ya haya matatitzo. sometimes matatizo yanatokana na uzembe wa mainjinia so inakuwa ngumu wao kutoa taarifa kama kuna uzembe kwao.

nikweli hizi laini zimekuwa na tatizo hili binafs mimi ninazo line tatu ila moja tu ndo inayo kubari huduma hii.kuhusu kastama kea hawa bwana nao huwa wengi hawajui na ukiwakomalia sana wakusaidie wanakuambia mtafute BDC aliye karibu nawe.
 
nikweli hizi laini zimekuwa na tatizo hili binafs mimi ninazo line tatu ila moja tu ndo inayo kubari huduma hii.kuhusu kastama kea hawa bwana nao huwa wengi hawajui na ukiwakomalia sana wakusaidie wanakuambia mtafute BDC aliye karibu nawe.

nikweli ata me nilipata hilo tatizo ila ss napata connection kama kawa ila huyu alotafuta msaada nafikiri ajaconnect net kabisa pls msaidie namna ya setting mkuu
 
Una simu gani? Tafuta mtu mwenye Airtel internet kwenye simu yake, ingia settings za internet copy data za humo ndani.

Ingia kwenye settings za internet simu yako dumbukiza settings, kwisha kazi.

Kwa mtazamo wangu naona kama hii ya kang imekaa vizuri, maana inaonyesha ni kama tatizo liko airtel kukutumia hizo confrg setting ktk line yao ili usave.
So jaribu kuziingiza manual kama alivyoshauri kang
 
Habari wanajamvni? leo naombeni msaada kwa jinsi gani naweza kufungua intaneti kwenye laini ya airtel tena haina GPRS/EDGS, nimejaribu kutuma intaneti kwenda 15444 bila jibu.
Unayo software ya NOKIA ya kukuwezesha ku-connect kwenye intanet...??
 
Kwa mtazamo wangu naona kama hii ya kang imekaa vizuri, maana inaonyesha ni kama tatizo liko airtel kukutumia hizo confrg setting ktk line yao ili usave.
So jaribu kuziingiza manual kama alivyoshauri kang

Mkuu tatizo linaweza likawa ni zaidi ya handset, kama ni line mpya namshauri awasiliane na customercare liliwahi kunikuta hilo tatizo hata mimi.........nilifikiri tatizo ni setting za handset yangu, nilipokwenda mlimani city nikagundua tatizo line yenyewe haikuwa enabled
 
Back
Top Bottom