msaada wa kuweka Internet password

maishapopote

JF-Expert Member
May 28, 2009
3,277
5,511
Wakuu hebu naomba mnisaidie hili..
ninatumia internet ya TTCL ile ya unlimited,nalipa kwa mwezi hapa ofisini kuna computer tatu na yangu mara nyingi ndo inatumika wengine wengi wanakua wanapiga field work.
Juzi kaja jamaa mmoja akawa anafanya kazi yake hapa..ila cha kushangaza alipojaribu kuconect internet through wireless ilikubali fasta

kwa hiyo jamaa akanishauri niweke password inawezekana watu wengi wa jengo hili wanaitumia internet yangu,
sasa kimbembe ni kuwa sifahamu namna ya kuweka network password iwe secure,natumia modem ya ZTE (ZXV 10 W300 Series) msaada wakuu
 
Mkuu umeniwakilisha pia, I face the same need, maana najua kuna Watu in proximity wanafaidi mgongoni.
 
Kizuri ule na mwenzio teh teh teeeh...............waacheni nao wafaudu.
Krapka davinooooo
 
hakikisha computer yako umeunganisha na internet kupitia hiyo device alafu angalia gateway ambayo computer yako inatumia alafu nenda ktk browser yako na type hiyo gateway kwenye address bar itakuletea username na password nadhani hapo ipo default ambayo ni 'ADMIN' utaweka hiyo sehemu zote ya username na password na baada ya hapo utaingia moja kwa moja kwenye setting hapo tafuta kwenye setting za wlan then unachagua WEP au WPA na utaweka password then unaclick SAVE,
Angalizo: kuwa makini na unachofanya maana unaweza korofisha setting nyingine na ukakosa internet na ukalazzimika kuwaita tena ttcl
 
hakikisha computer yako umeunganisha na internet kupitia hiyo device alafu angalia gateway ambayo computer yako inatumia alafu nenda ktk browser yako na type hiyo gateway kwenye address bar itakuletea username na password nadhani hapo ipo default ambayo ni 'ADMIN' utaweka hiyo sehemu zote ya username na password na baada ya hapo utaingia moja kwa moja kwenye setting hapo tafuta kwenye setting za wlan then unachagua WEP au WPA na utaweka password then unaclick SAVE,
Angalizo: kuwa makini na unachofanya maana unaweza korofisha setting nyingine na ukakosa internet na ukalazzimika kuwaita tena ttcl

shukrani nitaijaribu baadae.
 
hakikisha computer yako umeunganisha na internet kupitia hiyo device alafu angalia gateway ambayo computer yako inatumia alafu nenda ktk browser yako na type hiyo gateway kwenye address bar itakuletea username na password nadhani hapo ipo default ambayo ni 'ADMIN' utaweka hiyo sehemu zote ya username na password na baada ya hapo utaingia moja kwa moja kwenye setting hapo tafuta kwenye setting za wlan then unachagua WEP au WPA na utaweka password then unaclick SAVE,
Angalizo: kuwa makini na unachofanya maana unaweza korofisha setting nyingine na ukakosa internet na ukalazzimika kuwaita tena ttcl

Hiyo niliyo highlight kwa alama nyekundu ndio nini?? shule kidogo please
 
Hiyo niliyo highlight kwa alama nyekundu ndio nini?? shule kidogo please

Ktk taskbar karibu saa kuna network icon hapo right click alafu select status na itafunguka dialogue box ambayo utaona mambo mengi kama ip, subnet, gateway na dns sasa wewe chagua gateway ambayo inaweza kuwa ktk mfumo huu '192.168.1.1' au '192.168.0.1' sasa hiyo tumbukiza ktk address bar kwenye browser yako
 
Back
Top Bottom