JayJay11
Senior Member
- Dec 9, 2015
- 136
- 139
Habari zenu wakuu...
Jana nimenunua simu kwenye tigo shop
Simu aina ya Tecno N2
Ila inatumia tigo tu kwa sim1 ambayo ndo yenye mtandao mkubwa
Hivyo naomba mwenye ujuzi na ufahamu wa kuifungua ili iweze kutumia line za mitandao mingine anisaidie tafadhali
Natanguliza shukrani...
Jana nimenunua simu kwenye tigo shop
Simu aina ya Tecno N2
Ila inatumia tigo tu kwa sim1 ambayo ndo yenye mtandao mkubwa
Hivyo naomba mwenye ujuzi na ufahamu wa kuifungua ili iweze kutumia line za mitandao mingine anisaidie tafadhali
Natanguliza shukrani...