msaada wa kutumia crdb internet banking

mesack

Member
Jan 26, 2011
6
0
wana jamii naomba msaada wenu nimejiunga na huduma ya crdb internet banking mwezi wa pili sasa lakini kila nikijaribu kufanya malipo au transaction yoyote online inakataa na inapokea taarifa ya authorization failed,sasa cjajua tatizo ni nini
 
Kwanza kabisa kulogn inakubali kwa kutumia hizo password na ID walizokupa? Kama inakubali, je umeshacreate third part transfer (not very sure by the name) ? Kama inakataa kulogn wasiliana na CRDB customer care kitengo husika. Kama ulishacreate third part transfer harafu inagoma, angalia muda unaofanya hizo transactions zako then unaweza kujaribu tena baada ya kama masaa 2 wakati mwingine ni system ya CRDB inakuwa down. Angalia pia internet yako unayotumia isijekuwa too slow au link unayologn wasije kuchakachua (I mean the link should be secured, https//...) . Mwisho kabisa, jaribu kuwasiliana na Customer care wa kitengo husika.
 
Back
Top Bottom