Wakuu,
Nimetafuta hii cable madukani bila mafanikio. Naombeni msaada wa kupata cable hii.
au hii hapa
waya kama hizo huku Ughaibuni ni za kumwaga ikiwa bongo hakuna itabidi nije kufunguwa Duka langu huko Ahhhhhhhata hizo waya hakuna bongo? bongo kumechacha ile mbaya tutafika kweli jamani?Au ndio Siasa ya ujamaa hiyo inakataza vitu visiingie hapo bongo Ahhhhhhhhhhhhhhhhh Tupo nyuma sana.
waya kama hizo huku Ughaibuni ni za kumwaga ikiwa bongo hakuna itabidi nije kufunguwa Duka langu huko Ahhhhhhhata hizo waya hakuna bongo? bongo kumechacha ile mbaya tutafika kweli jamani?Au ndio Siasa ya ujamaa hiyo inakataza vitu visiingie hapo bongo Ahhhhhhhhhhhhhhhhh Tupo nyuma sana.