what if yuko nje ya nchi?Ushauri:
Nenda kwa boss wako mwambie akupe, ni haki yako kuwa nayo. Kama boss hana nenda kwa RAS yeyote aliyekaribu nawe, mwambie akupatie vinginevyo nenda ofisi za Government printer utapata nakala yako kwa bei nafuu sana.
Best wishes.
Thanks Mkuu, nadhani Option ya mwisho ni useful zaidi kuliko hizo za mwanzo kwa sababu nimeshagonga mwamba! UbarikiweUshauri:
Nenda kwa boss wako mwambie akupe, ni haki yako kuwa nayo. Kama boss hana nenda kwa RAS yeyote aliyekaribu nawe, mwambie akupatie vinginevyo nenda ofisi za Government printer utapata nakala yako kwa bei nafuu sana.
Best wishes.