Wabogojo
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 354
- 87
Wakuu,
Ni kwa kipindi cha kama miezi zaidi ya minne sasa tangu nimenunua hii simu yangu ya mkononi na tangia hapo nimekuwa ninasurf mtandao wa JF kama kawaida na speed nzuri kabisa. Cha ajabu tangu last week end nashindwa kabisa kuingia humu jamvini kwani kila nikijaribu naambia "Error Insufficient memory",
Swali langu la msingi ni: Je nitawezaje kuongeza memory ya simu yangu ili niweze kuifungua JF?
Ni kwa kipindi cha kama miezi zaidi ya minne sasa tangu nimenunua hii simu yangu ya mkononi na tangia hapo nimekuwa ninasurf mtandao wa JF kama kawaida na speed nzuri kabisa. Cha ajabu tangu last week end nashindwa kabisa kuingia humu jamvini kwani kila nikijaribu naambia "Error Insufficient memory",
Swali langu la msingi ni: Je nitawezaje kuongeza memory ya simu yangu ili niweze kuifungua JF?