Msaada wa kufungua kampuni ya usafi

mliverpool

JF-Expert Member
Jan 6, 2015
1,506
2,830
habari zenu wanajukwaa,nina mpango wa kufungua kampuni ya usafi majumbani,maofisini na mitaani kwenye barabara n.k kwa kushirikiana na jamaa yangu mmoja, so naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa gharama halisi za vifaa na kwa mtaji wa kiasi gani unaweza kuwa muafaka kama kianzio kwa biashara hii!nipo dar es salaam,temeke
 
habari zenu wanajukwaa,nina mpango wa kufungua kampuni ya usafi majumbani,maofisini na mitaani kwenye barabara n.k kwa kushirikiana na jamaa yangu mmoja, so naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa gharama halisi za vifaa na kwa mtaji wa kiasi gani unaweza kuwa muafaka kama kianzio kwa biashara hii!nipo dar es salaam,temeke

Apa ndo tatizo linapoonza, Kufanya kitu kwa kujiona unaweza, ndio unaweza ila ulishawai kufikiri growth period ya hiyo kampuni yako... wacha nikupe interesting story kulikuwa na mchezaji mmoja mkubwa sana ambaye alipata nafasi ya kuwa kocha....lakini alipopata nafasi iyo alienda shule kusoma certificate ya ukocha alipoulizwa kwa nini unasoma certificate ya ukocha alisema kwa sababu nilikuwa naona mambo kama mchezaji sio kocha....Kila jambo lina gharama katika kufanya jambo je umejiandaje
 
KHEE,kaka nimeomba msaada, sasa 'kujifanya naweza' kumetoka wapi??mbona watnzania tunapenda sana negative attitude??kwani nimekukataza kutoa msaada unapoona nimekosea?? unajua somtym ndo maana watu wanashindwa kuomba msaada JF kwa sababu ya watu kama nyie,nimejieleza mnatafuta kosa kwenye kila line badala ya kutafuta solution, let us change wtz,tupige hatua
 
Apa ndo tatizo linapoonza, Kufanya kitu kwa kujiona unaweza, ndio unaweza ila ulishawai kufikiri growth period ya hiyo kampuni yako... wacha nikupe interesting story kulikuwa na mchezaji mmoja mkubwa sana ambaye alipata nafasi ya kuwa kocha....lakini alipopata nafasi iyo alienda shule kusoma certificate ya ukocha alipoulizwa kwa nini unasoma certificate ya ukocha alisema kwa sababu nilikuwa naona mambo kama mchezaji sio kocha....Kila jambo lina gharama katika kufanya jambo je umejiandaje
Watu kama nyie


Hamfai kuwepo kwenye jamii
 
Watu kama nyie


Hamfai kuwepo kwenye jamii

............. Baba yangu ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke, walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.............Mwenye macho aone na mwenye masikio asikie..............
 
Apa ndo tatizo linapoonza, Kufanya kitu kwa kujiona unaweza, ndio unaweza ila ulishawai kufikiri growth period ya hiyo kampuni yako... wacha nikupe interesting story kulikuwa na mchezaji mmoja mkubwa sana ambaye alipata nafasi ya kuwa kocha....lakini alipopata nafasi iyo alienda shule kusoma certificate ya ukocha alipoulizwa kwa nini unasoma certificate ya ukocha alisema kwa sababu nilikuwa naona mambo kama mchezaji sio kocha....Kila jambo lina gharama katika kufanya jambo je umejiandaje

wewe kweli mtoto wa uswahilini wivu mwingi na povu la OMO.

swissme
 
Back
Top Bottom