Sijui huyu mama anatoa wapi jeyri hii yote,mtiririko wa sakata zima la matukio ya arusha yapo mgongoni mwake kama muhisika mkuu,bado anaendelea kutoa kauli tata na kufanya mambo kana kwamba yeye yupo juu ya kila kitu.
Hivi ni jinsi gani twaweza kumshughulikia huyu mama kisheria ili aweze kupotea kabisa katika uso wa jamii yetu?
Anakera sanaa!!!
Hivi ni jinsi gani twaweza kumshughulikia huyu mama kisheria ili aweze kupotea kabisa katika uso wa jamii yetu?
Anakera sanaa!!!