Mugizi1
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 478
- 142
Wakuu nina frash yangu ambayo imeanza kunizingua baada ya kumuazimisha mtu mmoja lakini sahivi kila nikiichomeka kwenye pc yangu inanipa hii message'' you need to format the disc in drive G: before you can use it'' lakini kila nikiformat inagoma.Naomba msaada nifanyeje?