Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Wakuu heshima kwenu.
Ninaomba mwenye utaalamu wa kuandika madai ya Bima anisaidie. Nilipata ajali ya kugongwa na gari Octoba mwaka jana na hatua zote za kipolisi zimetimia. mpaka sasa bado kesi haijaenda mahakamani baada ya dereva kukimbia. hivyo nimepewa nakala zote za shauri hilo na Polisi makao makuu ambazo zinaniwezesha kuanza mchakato wa madai yangu ya Bima. lakini tatizo nililo nalo ni kwamba sina utaalamu wa kundika madai hayo.
Nilivunjika mkono wa kulia karibu na kiganja.
Habari ya ajali yangu iliwahi kuandika hapa na memba mwenzangu kwa kuisoma waweza kubofya hapa:
https://www.jamiiforums.com/mahusia...mtambuzi-wa-jf-amepata-ajali-asubuhi-hii.html
Natarajia kupata msaada wenu.
pamoja Daima
Ninaomba mwenye utaalamu wa kuandika madai ya Bima anisaidie. Nilipata ajali ya kugongwa na gari Octoba mwaka jana na hatua zote za kipolisi zimetimia. mpaka sasa bado kesi haijaenda mahakamani baada ya dereva kukimbia. hivyo nimepewa nakala zote za shauri hilo na Polisi makao makuu ambazo zinaniwezesha kuanza mchakato wa madai yangu ya Bima. lakini tatizo nililo nalo ni kwamba sina utaalamu wa kundika madai hayo.
Nilivunjika mkono wa kulia karibu na kiganja.
Habari ya ajali yangu iliwahi kuandika hapa na memba mwenzangu kwa kuisoma waweza kubofya hapa:
https://www.jamiiforums.com/mahusia...mtambuzi-wa-jf-amepata-ajali-asubuhi-hii.html
Natarajia kupata msaada wenu.
pamoja Daima