Nyuki
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 367
- 14
Kwa kweli inasikitisha sana mtoto wa miaka mitatu anakwenda boarding school?anakosa malezi ya wazazi wote wawili mapema,sipati picha ni taifa lipi tunalijenga la baadaye.
kwa ufahamu wangu mama anatakiwa akae na mtoto mpka miaka saba ndio baba unaweza kumchukua,kuhusu kumlipia nyumba sidhani kama lina mantiki, nachofahamu ukikaa na mwanamke kwa miezi sita mfufulizo sheria ya ndoa inatambua ni mkeo.
kama atafuate sheria mwache afuate then intavunjwa mahakamani haya ya kulipiana kodi haya msingi wowote.
pole sana thats life
kwa ufahamu wangu mama anatakiwa akae na mtoto mpka miaka saba ndio baba unaweza kumchukua,kuhusu kumlipia nyumba sidhani kama lina mantiki, nachofahamu ukikaa na mwanamke kwa miezi sita mfufulizo sheria ya ndoa inatambua ni mkeo.
kama atafuate sheria mwache afuate then intavunjwa mahakamani haya ya kulipiana kodi haya msingi wowote.
pole sana thats life