Msaada wa kizalendo

LuisMkinga

JF-Expert Member
Jan 10, 2012
2,958
5,561
mie ni graduate wa IT.sasa nimfind ajira naona zengwe japo sijakata tamaa kiivyo. but since nipo std 7 nimekuwa na biashara za hapa na pale(ndogo ndogo) nkichanganya shule na hzo biashara. je najishauri yafuatayo
1. Je niache fani yangu ya IT mana naona kama nimepoteza mda??
2. Nifanye biashara huku naomba kazi, japo hili nalo gumu unakuwa upo kati kati kwenye kumake short,medium and long term plans za kibiashara??
3. Uwoga/ au kulinganisha kile kitu wanacholipwa na faida nitakayoipata kwani naona kama ndogo vile,
 
Mkuu, LuisMkinga
graduate wa IT alafu unawaza kuacha fani yako huko ni kupoteza rasilimali ulizo wekeza ikiwa ni nguvu,fedha na muda.
Umegusia BIASHARA ambalo ndio swala langu hapa, maana hata ID yako inajieleza kua unachembechembe hai za ujasiriamali. Hebu fanya hivi kama ushauri tu, fungua hata blog na uwe na web default uwe unatoa hata ushauri wa IT huku ukiwa unaendelea na biashara zako mdogo mdogo. Kuajiriwa sina ushauri kwani sikuwahi kuajiriwa zaidi ya kuajiri na mwisho kabisa ukiongelea FAIDA, wewe kwa upande wako sijui faida unaipima vipi?
 
Mkuu wewe ni Graduate wa IT halafu unataka kula Kona? angalia muda uliopoteza, mimi nakusahuri fanyia kazi fani yako, na kwa Biashara za service mara nyingi unaweza anza hata na mtaji mdogo sana au bila mtaji,

FAIDA

- Tatizo kubwa linatusimbua tunaingia kwenye Biashara tukitanguliza Faida Mbele, Mkuu hata Matajiri wa Dunina hawakutarajia wange kuwa hapo walipo sasa, Ila Utajiri umekuja kuwa ni Matokeo ya Jamii kukubali kazi yao

-HUWEZI ANZISHA BIASHARA NA KUTOA PRODUCT/SERVICE YA HOVYO halafu uwaze kuwa tajiri utakuwa ni Ujinga wa Hali ya juu,

FAIDA/UTAJIRI- haya ni matokeo ya wewe kutoa sevise iliyo enda shule,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom