Msaada wa kitaalam

tusichoke

JF-Expert Member
Apr 2, 2011
1,316
216
Ndugu wana Jf ninaomba wanaofahamu ubora wa Nokia E7 wanipe data maana nimejaribu kudownload operamin naambiwa inahitaji frames.Hii simu imeandikwa made from Finland lakini nahisi inaweza kuwa mchina at work.Kwa aliyewahi kutumia tafadhali
 
Mkuu hujaeleza vizuri,hyo opera umejaribu kudownload vp lakini kwa haraka,kudownload opera kwa urahisi andika m.opera.com kisha server ya opera ita detect kama simu yako ina sapport opera mini au opera mobile
 
Back
Top Bottom