engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
wanasheria
naomba msaada wenu,nimehama wizara kutoka wizara ya elimu kwenda wizara nyingine,nimefanya kazi ktk wizara ya elimu toka 2003 hadi 2009,sikufanikiwa kuhamisha file kutoka wizara ya elimu kwenda wizara nyingine.
nacho kiomba hapa ni jinsi gani naweza kupata ile michango yangu niliyokuwa nachangia kutoka ktk mshahara wangu kwenda ktk mfuko wa pension kwa mda wa miaka 7?
nawasilisha
naomba msaada wenu,nimehama wizara kutoka wizara ya elimu kwenda wizara nyingine,nimefanya kazi ktk wizara ya elimu toka 2003 hadi 2009,sikufanikiwa kuhamisha file kutoka wizara ya elimu kwenda wizara nyingine.
nacho kiomba hapa ni jinsi gani naweza kupata ile michango yangu niliyokuwa nachangia kutoka ktk mshahara wangu kwenda ktk mfuko wa pension kwa mda wa miaka 7?
nawasilisha