ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
heshima yenu wakuu! Naomba ushauri wa kisheria,nilimuuzia jamaa mmoja gari ni siku kama kumi zilizopita,hatukuandikishiana sehemu yoyote,lakini nilimpa kadi ya gari,niliuza nikiwa na lengo la kuagiza gali nyingine,lakini kutokana na bkodi zilivyopanda,nataka nimrudishie hela yake anipe gari yangu,je sheria inasemaje hapo? Hakukukuwa na shaidi yoyote kati yetu! Nawakilisha!