Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Salamu wakuu,
Nadhani mwaendelea vyema katika shughuli za kila siku.
Jamani mi nahitaji msaada wa kisheria juu ya jambo moja.
Hivi kama kampuni imeuzwa; nini kinatakiwa kufanywa na mwajiri aliyenunuliwa kwa mfanyakazi wake kabla hajawa chini ya ya aliyenunua kampuni hiyo hasa kama alikuwa na mkataba wa muda au wa kudumu?
Asanteni kwa msaada wenu.
Nadhani mwaendelea vyema katika shughuli za kila siku.
Jamani mi nahitaji msaada wa kisheria juu ya jambo moja.
Hivi kama kampuni imeuzwa; nini kinatakiwa kufanywa na mwajiri aliyenunuliwa kwa mfanyakazi wake kabla hajawa chini ya ya aliyenunua kampuni hiyo hasa kama alikuwa na mkataba wa muda au wa kudumu?
Asanteni kwa msaada wenu.