Heshima wakuu
Naombeni wataalam/ wajuzi kwenye tasnia ya kisheria mnielekeze mambo yafuatayo;
1. Mtu akipatikana mahakamani na kosa la "Dangerous Driving", hukumu/ faini yake itakuwa nini?
2. Mtu akipatikana mahakamani na kosa la "Causing Bodily Injuries through Dangerous Driving", hukumu/ faini yake itakuwa nini?
Wasalaam,
Ntu
Naombeni wataalam/ wajuzi kwenye tasnia ya kisheria mnielekeze mambo yafuatayo;
1. Mtu akipatikana mahakamani na kosa la "Dangerous Driving", hukumu/ faini yake itakuwa nini?
2. Mtu akipatikana mahakamani na kosa la "Causing Bodily Injuries through Dangerous Driving", hukumu/ faini yake itakuwa nini?
Wasalaam,
Ntu