Msaada wa Kisheria (Road Traffic Act)

Ntu

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
951
552
Heshima wakuu

Naombeni wataalam/ wajuzi kwenye tasnia ya kisheria mnielekeze mambo yafuatayo;
1. Mtu akipatikana mahakamani na kosa la "Dangerous Driving", hukumu/ faini yake itakuwa nini?

2. Mtu akipatikana mahakamani na kosa la "Causing Bodily Injuries through Dangerous Driving", hukumu/ faini yake itakuwa nini?

Wasalaam,
Ntu
 
makosa yote ya kitrafic fain 30'000/= lakini ukienda mahakamani unaweza kutozwa faini kifungo au vyote kwa pamoja
 
makosa yote ya kitrafic fain 30'000/= lakini ukienda mahakamani unaweza kutozwa faini kifungo au vyote kwa pamoja

Asante sana Mkuu, ila naomba uendelee kunitoa matongotongo; ni vigezo gani mnavyovizingatia;
a. Mtu utozwa faini?

b. Mtu kufungwa?

c. a+b above?

Ubarikiwe sana mkuu
 
Mazingira ya kutenda kosa eg kukimbia baada yakusimamishwa na trafic, kutoa lugha chafu baada ya kutenda kosa etc
 
Mazingira ya kutenda kosa eg kukimbia baada yakusimamishwa na trafic, kutoa lugha chafu baada ya kutenda kosa etc

Asante SANA mkuu; Hajakimbia, ila kasomewa mashtaka na anakabiliwa na mashtaka mawili i.e Dangerous Driving & Causing Injuries through Dangerous Driving.
 
Asante SANA mkuu; Hajakimbia, ila kasomewa mashtaka na anakabiliwa na mashtaka mawili i.e Dangerous Driving & Causing Injuries through Dangerous Driving.

Ni fine tsh 30,000 kwa kila kosa, but utetezi wako waweza kukuokoa pia + hakimu in binadamu Kama wewe anaweza vuta cha juu akakuachia nanda tu mahakamani usiogope!
 
Ni fine tsh 30,000 kwa kila kosa, but utetezi wako waweza kukuokoa pia + hakimu in binadamu Kama wewe anaweza vuta cha juu akakuachia nanda tu mahakamani usiogope!

Asante sana mkuu; Utetezi upi utakaohitajika hapo ili uokoe jahazi?
 
Asante sana mkuu; Utetezi upi utakaohitajika hapo ili uokoe jahazi?

Kukana kosa an kumwachia vhicle inspector to prove beyond resonable doubt umefanya Hilo kosa
 
Back
Top Bottom