msaada wa kisheria kwa mtoto

huba.c

Member
Jun 16, 2011
30
5
Jamani wanandugu naomba kuuliza tu kwa wale wenzangu wanaoijua sheria! Baba anapokua mkaidi kutoa hela ya matunzo ya mwanae wea do I go to complain about this na sio kwamba hana uwezo! Somebdy pls help!
 
Jamani wanandugu naomba kuuliza tu kwa wale wenzangu wanaoijua sheria! Baba anapokua mkaidi kutoa hela ya matunzo ya mwanae wea do I go to complain about this na sio kwamba hana uwezo! Somebdy pls help!

Unaenda ustawi wa jamiii au mahakamani. Unapewa maelekezo nini cha kufanya ili baba atoe matunzo. Tembelea ofisi yoyote ya mwanasheria(wakili) mlipe elfu 10 au 20 akupe ushauri wa nini cha kufanya.
 
Unaenda ustawi wa jamiii au mahakamani. Unapewa maelekezo nini cha kufanya ili baba atoe matunzo. Tembelea ofisi yoyote ya mwanasheria(wakili) mlipe elfu 10 au 20 akupe ushauri wa nini cha kufanya.

ACHA KUMDANGANYA MWENZAKO,LAZIMA UJIULIZE KWANZA NI KWA NINI HATOI MATUNZO,LABDA KAMPELEKA MTOTO DNA KWA SIRI KAGUNDUA SIO WAKE AU WEWE ULIKUWA UNA WANAUME KIBAO WAKATI WA KUBEBA HIYO MIMBA?AU AMEAMUA KUKUPA ZAWADI YA MTOTO SASA WEWE UNASHINDWA KUTAFAKARI UNAANZA KUFIKIRIA NIFANYEJE INA MAANA WEWE MAHAKAMA NA USTAWI WA JAMII HUPAJUI?/

NA KAMA UNATAKA KWENDA KUMSHTAKI BABA WA MWANAO ILI IWEJE??AKUPE MATUNZO HALAFU UHUSIANO WAKE NA MTOTO NA WEWE UNALAZIMIHWA NA MAHAKAMA AU NI HIYARI YA MTU

KAMA AMEKUPA ZAWADI HUYO MTOTO NA WEWE UMESHINDWA KUMLEA SERIKALI YA CCM INALEA WATOTO WAPELEKEE PALE IKULU WATAKUSAIDIA

ILA KAMA WEWE NI WENGE /MAPEPE NA UNA MABWANA KIBAO HUO MSALA WAKO ILA UKIPELEKA CCM PIA WANAKUSAIDIA,WAPELEKEE MAGAMBA WATAMLEA HUYO AJE KUWAPA KURA MOja
 
ACHA KUMDANGANYA MWENZAKO,LAZIMA UJIULIZE KWANZA NI KWA NINI HATOI MATUNZO,LABDA KAMPELEKA MTOTO DNA KWA SIRI KAGUNDUA SIO WAKE AU WEWE ULIKUWA UNA WANAUME KIBAO WAKATI WA KUBEBA HIYO MIMBA?AU AMEAMUA KUKUPA ZAWADI YA MTOTO SASA WEWE UNASHINDWA KUTAFAKARI UNAANZA KUFIKIRIA NIFANYEJE INA MAANA WEWE MAHAKAMA NA USTAWI WA JAMII HUPAJUI?/

NA KAMA UNATAKA KWENDA KUMSHTAKI BABA WA MWANAO ILI IWEJE??AKUPE MATUNZO HALAFU UHUSIANO WAKE NA MTOTO NA WEWE UNALAZIMIHWA NA MAHAKAMA AU NI HIYARI YA MTU

KAMA AMEKUPA ZAWADI HUYO MTOTO NA WEWE UMESHINDWA KUMLEA SERIKALI YA CCM INALEA WATOTO WAPELEKEE PALE IKULU WATAKUSAIDIA

ILA KAMA WEWE NI WENGE /MAPEPE NA UNA MABWANA KIBAO HUO MSALA WAKO ILA UKIPELEKA CCM PIA WANAKUSAIDIA,WAPELEKEE MAGAMBA WATAMLEA HUYO AJE KUWAPA KURA MOja
Sasa mkuu unapinga ushauri wa kitaalam kwa kuweka upupu, ingefaa kama ushauri wako ungekuwa wa kitalaam zaidi ya ule unaoupinga.
 
Nafikiri ungeeleza kwa kina kwanini anakataa kumpa matunzo huyo mtoto wake? lakini kama anakataa tu nenda ustawi wa jamii utapata ufumbuzi
 
Jamani wanandugu naomba kuuliza tu kwa wale wenzangu wanaoijua sheria! Baba anapokua mkaidi kutoa hela ya matunzo ya mwanae wea do I go to complain about this na sio kwamba hana uwezo! Somebdy pls help!

Fafanua zaidi hapa ni kwa nini baba amekataa kutoa matunzo ndo watu wakusaidie na ilikuwaje kuanzia wakati mtoto anazaliwa na hali ibadilike sas ahivi
 
Back
Top Bottom