Wakuu naomba nipate msaada wa kisheria inapotokea mtu kakaosa chuo wakati anasoifa na hapewi mkopo wakati anavigezo vyote vya kupata mkopo?Wakati nimetumia gharama nyingi kufanya maombi hayo na kupoteza muda mwingi sana.Niliomba chuo kupitia Tcu,wengine sifa zinafanana wamepata.Nisaidieni jamani.