Msaada wa Kisheria kuhusu mapacha kutumia cheti kimoja

hibiscus interior

JF-Expert Member
Jan 13, 2016
1,168
594
Habar za kwenu Ndugu zangu kuna jambo naomba kujuzwa eti si kosa kwa mapacha wanaofanana kutumia lesen moja ya gari.
Cheti cha shule iwapo mmoja alifeli mmoja akaendelea bas wanapasiana vyeti kusonga mbele. Naomba kujua kama ni kosa kisheria na nini adhabu yake.
 
Na mimi naomba kuuliza, kama mko mapacha mkiwa na njaa, ikitokea mmoja akala je na yule mwingine atashiba?

Au huyu mmoja akiumwa, yule mwingine anaweza kwenda hospital kwa ajili ya mwenzake?

Na kama haiwezekani ni kwa nini?
 
Habar za kwenu Ndugu zangu kuna jambo naomba kujuzwa eti si kosa kwa mapacha wanaofanana kutumia lesen moja ya gari.
Cheti cha shule iwapo mmoja alifeli mmoja akaendelea bas wanapasiana vyeti kusonga mbele. Naomba kujua kama ni kosa kisheria na nini adhabu yake.
kwakuwa wanafana ungeongezea kuwa mmoja akiwa na demu wote wanachapa.
 
sijui huyu muuliza swali ana umri gani? ndio maana wakenya wanatudharau watz kwamba hatuna akili za kufikiri, ni kutokana na watu aina hii. jibu liko wazi lakini anasubmuka kuuliza.
 
Habar za kwenu Ndugu zangu kuna jambo naomba kujuzwa eti si kosa kwa mapacha wanaofanana kutumia lesen moja ya gari.
Cheti cha shule iwapo mmoja alifeli mmoja akaendelea bas wanapasiana vyeti kusonga mbele. Naomba kujua kama ni kosa kisheria na nini adhabu yake.
Sisi tupo mapacha mwenzangu anaitwa Edwin lakini Kila mtu ana cheti chake, ana leseni yake (ingawa wakati mwingine tunatumia 1 ku drive ikitokea mmoja kaisahau yake) na kila mtu ana passport yake
 
Back
Top Bottom