Mary Glory
Senior Member
- Mar 20, 2011
- 124
- 20
wanajf ninaomba msaada wa kisheria kuhusu hili.namdai mtu shilingi milioni tano.hatukuandikishana popote nilipokuwa nampa hizo pesa.yeye anakiri kwamba namdai ila kulipa ndo anasumbua.nimejaribu kumuomba tukaandikishane anakataa.je nifanyeje ili niweze kupata pesa zangu?