nickson1987
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 191
- 24
Naombeni ushauri mimi nilichukua pesa laki nane tu kwa ajili ya biashara, ya chips ila haikunilipa mtaji ulikata wote, ingawa nilikuwa na familia ya watoto watatu, na mke mmoja nime teseka Kwa muda miaka miwili na nusu huku mwenye pesa ana taka pesa yake yote, akanipeleka mahakamani, na mahakamani wamenipa mwenzi mmoja nilipe kweli ni haki kweli! Nisipo lipa nawekwa ndani familia yangu itaishije naombeni ushauri