Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Wana JF,
NI uciku wa jana, rafiki yetu na ndugu yetu dereva wa pikipiki A.K.A. bodaboda, alitekwa na majambazi akanyang'anywa pikipiki yake, alipoenda kutoa taarifa kituo cha Polisi Mabatini Sinza, cha ajabu akawekwa ndani tangu jana. Ndugu walipofuatilia wakakuta maelezo kuwa aliporwa pikipiki!! sasa cha ajabu ni kuwa aliwekwa ndani!!!!!?????.....na wameshindwa kutoa maelezo ya kutosha! Nimerifiwa juu ya jambo hili muda si mrefu na nikatoa maelekezo kuwa wademand maelezo ya kutosha kutoka kwa mpelelezi wa suala hili (polisi aliyemuweka ndani), then wamuone mkuu wa kituo demanding the same! Baada ya kupata maelezo tutajua hatua za kufuata.
hii imenifanya kuwa na hisia kuwa Polisi walishiriki tukio hili la kutekwa kwa ndugu yetu!... Masikini kijana wa watu anabangaiza maisha wanataka kumrudisha kijijini!? Kitu ambacho kimenisikitisha ni kitendo cha polisi kumweka ndani mlalamikaji.....bila maelezo ya kuridhisha
Kimsingi jambo hili limenisikitisha sana na nimeamua kulivalia njuga mpaka nijue hatma yake!
Nawaombeni ushauri on the right procedures niweze kuboresha mawazo yangu nitoe machango wangu kwa taifa kwa kuwawajibisha watu kama hawa!!
POLISI SYSTEM IS ROTTEN AND STINKING!!
NI uciku wa jana, rafiki yetu na ndugu yetu dereva wa pikipiki A.K.A. bodaboda, alitekwa na majambazi akanyang'anywa pikipiki yake, alipoenda kutoa taarifa kituo cha Polisi Mabatini Sinza, cha ajabu akawekwa ndani tangu jana. Ndugu walipofuatilia wakakuta maelezo kuwa aliporwa pikipiki!! sasa cha ajabu ni kuwa aliwekwa ndani!!!!!?????.....na wameshindwa kutoa maelezo ya kutosha! Nimerifiwa juu ya jambo hili muda si mrefu na nikatoa maelekezo kuwa wademand maelezo ya kutosha kutoka kwa mpelelezi wa suala hili (polisi aliyemuweka ndani), then wamuone mkuu wa kituo demanding the same! Baada ya kupata maelezo tutajua hatua za kufuata.
hii imenifanya kuwa na hisia kuwa Polisi walishiriki tukio hili la kutekwa kwa ndugu yetu!... Masikini kijana wa watu anabangaiza maisha wanataka kumrudisha kijijini!? Kitu ambacho kimenisikitisha ni kitendo cha polisi kumweka ndani mlalamikaji.....bila maelezo ya kuridhisha
Kimsingi jambo hili limenisikitisha sana na nimeamua kulivalia njuga mpaka nijue hatma yake!
Nawaombeni ushauri on the right procedures niweze kuboresha mawazo yangu nitoe machango wangu kwa taifa kwa kuwawajibisha watu kama hawa!!
POLISI SYSTEM IS ROTTEN AND STINKING!!