Wadau salaamu !
Naomba mwenye ufahamu wa namna ya kuandika katiba ya NGOs kuhusu masuala ya kijamii ,anisaidie ..tuna mawazo tunashindwa kuataekeleza kutokan ana ukiritimba wa seriklai na ombwe la uongozi ,ni heri kuamua kuyatekeleza kivyako ...nchi sasa haina mwnewe!
Natumaini wadau mtanisaidie !
Naomba mwenye ufahamu wa namna ya kuandika katiba ya NGOs kuhusu masuala ya kijamii ,anisaidie ..tuna mawazo tunashindwa kuataekeleza kutokan ana ukiritimba wa seriklai na ombwe la uongozi ,ni heri kuamua kuyatekeleza kivyako ...nchi sasa haina mwnewe!
Natumaini wadau mtanisaidie !