Naisoma360
JF-Expert Member
- Jan 23, 2015
- 820
- 491
Wana JF Kama kuna mtu atakuwa na Joining instruction Chuo kikuu cha Dodoma Anisaidie kwa Undergraduate.
Wana JF Kama kuna mtu atakuwa na Joining instruction Chuo kikuu cha Dodoma Anisaidie kwa Undergraduate.
UDOM wapo very slow.
Admission zimetoka bt inakataa kwenye kulogin
Yaani mbona mimi hyo ALIS haifunguki kwangu au inakuaje maaana nataka niwachukulie madogo hapaSasa hivi inakubali kuingia
LOG IN HAPA KWA WALE WA UDOM TAYARI>UDOM - ALIS