Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,556
- 40,673
Poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa, najitokeza kwenye jukwaa hili kuomba mwenye ujuzi wa jinsi ya kuchaji battery za Camera. Nina Camera ambayo inatumia rechargeable battery, ila nimeshindwa kuelewa nitazichaji je sababu zipo separate. Namaanisha inatumia battery mbili, ambazo zinafanana kabisa na batteries nyingine. Pia nikinunua battery nyingine nazitumia tu kwa muda mfupi zinakwisha charge, kwa hiyo anayejua chombo ambacho nitaweza kukinunua kinisaidie kuchajia hizo battery ningeshukuru. Natanguliza shukrani.