Msaada wa information wana jf

Misosi

Member
Sep 17, 2010
85
4
Salaam! Naombeni msaada wa information kuhusu faida na hasara za kufanya kazi kama Assistant Lecturer au Lecturer pia ningeomba mwenye data anisaidie salary scale ya Assistant Lecturer(M.Sc holder) na Lecturer (PhD holder) na kama kuna malupulupu yoyote katika kazi hizi please. Kiufupi ninataraji kuhitimu masomo yangu kwa M.Sc na ningependa kufanya hii kazi lakini kama mjuavyo ni muhimu kufanya utafiti kwanza. Ahsante nategemea mawazo yenu wana JF.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom