white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
nimehamia sehemu ambayo umeme ni mdogo(voltage) hivyo computer inashindwa kuwaka,nikiiwasha kuna taa nyekundu inawaka kisha inatoa mlio(alarm).ila vifaa vingine kama tv,radio na hata friji vinafanya kazi,ngoma ni pc tu.hivyo nashindwa kufanya shughuri,naombeni msaada.