Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Tafadharini sana,
Nilimtumia mtu pesa mwezi wa July (CRDB),nikamtaarifu akasema sawa ila inaonekana (labda hakwenda kuangalia benk).
Leo ananitafuta anasema SIKUWEKA hela!!!!!!!!!
tatizo langu ni kwamba,kuna namna naweza kupata statement ya benki ukizingatia "pay slip" nimepoteza na nili-deposit dar es salaam na kwa sasa nipi mwanza????
Nilimtumia mtu pesa mwezi wa July (CRDB),nikamtaarifu akasema sawa ila inaonekana (labda hakwenda kuangalia benk).
Leo ananitafuta anasema SIKUWEKA hela!!!!!!!!!
tatizo langu ni kwamba,kuna namna naweza kupata statement ya benki ukizingatia "pay slip" nimepoteza na nili-deposit dar es salaam na kwa sasa nipi mwanza????