Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu na wewe toa Ushauri wako..Mmmmmmm@ElliMmmmh ushauri mwingine unatisha
teh teh teh, umenichekesha mpaka nimetokwa na machozi, ngoja nilale sasa!kama upo karibu na mtu mwambie ukipige ngumi nzito sana ya shingo utapona pia
teh teh teh, umenichekesha mpaka nimetokwa na machozi, ngoja nilale sasa!
Mkuu Kukwama na Mfupa ni kitu cha hatari mkuu naona umemjibu kwa kunifuata mimi hahahahahahh. Nilifikiri na wewe utatowa Formula yako Kumbe huna na kumbe unafuata mchango wangu wa mawazo asante sana.... King'astiMziziMkavu bwana! Yaani hata mfupa wa samaki unaufanyia prescrIption ya matonge ya ugali matatu, mara mganga wa kienyeji!
Ndugu, tandika tena ugali na samaki ama nyama ama mboga yoyote vitazoa huo mfupa maisha yatakuwa mwake tu!
Hutaweza kuona huo Mfupa kwa sababu aliyeweka Thread hayupo online mngojee mpaka awepo online atakuonyesha huo mfupa bibliographymbna siuoni huo mufupaaaaa blaza
Ushauri umechelewa sana, hakupata hata nafasi ya kuusoma! Burrrrrr.......!
Kweli unasikitisha kwa komenti yako ya kwanza. Si unyamaze kama huna cha kusema?
Umelazimishwa kuchangia hujui utu?
Pia unajibadili baadae kwa kutoa ushauri kopi kopi,
Na pia acha ku copy and paste bila kuweka ulikotoa, wizi huo wa mambo ya wengine unataka jipa credit.
Kweli unasikitisha kwa komenti yako ya kwanza. Si unyamaze kama huna cha kusema?
Umelazimishwa kuchangia hujui utu?
Pia unajibadili baadae kwa kutoa ushauri kopi kopi,
Na pia acha ku copy and paste bila kuweka ulikotoa, wizi huo wa mambo ya wengine unataka jipa credit.
Atakuwa ameshaumeza huo na amepona, siyo issue ki hivyo!Ushauri umechelewa sana, hakupata hata nafasi ya kuusoma! Burrrrrr.......!
kama hujaelewa uliza ueleweshwe, mbona unalalama sana! Inaonekana week-end imekuendea kombo sana wewe na uataka kumalizia machungu kwangu eeh!!!!!
Hujui ukisemacho ww!
maeno yako yanasikitisha, sababu unasema unachojisikia eti wkend etc, utaji jj.