Msaada wa haraka ndugu zangu

mtani1

Member
Aug 25, 2011
8
0
Kila nikijamiiana baada ya siku mbili au tatu natokewa na vipele/ blisters kuzunguka uume na mda mwingine vinaweka maji baadae hupasuka na vinakauka. Sijui tatizo nin. Kuna wakati niliingiwa na hofu nikapima vdrl nikidhani labda nimepatwa na magonjwa ya zinaa lakini hakukua na tatizo. Na ngozi ya uume nao naona kama umekua line sana si kama zamani. Mwenye utaalam tusaidiane
 
Kaka nahisi ni kaswende, but nashauri uende kwa docter na umwonyeshe akikupima utapata jibu, usizembee hiyo ndio inakutofautisha na mwanamke. Linda heshima ya jembe mpini usijevunjika
 
kaswende kaka nijuavyo kungekua na usaha unatoka, alkini hata nikipima mkojo hakuna infections yoyote...au nipime kipimo gani maana nilienda kwa dokta siku moja akaniambia nipime mkojo tu na hakuona kitu
 
Mbona kama kaswende inapimwa damu na sio mkojo? rudi tena hospitali utapata msaada zaidi.
 
Pole ndugu yetu,mimi si doctor,but with simple knowladge and experience itakua ni kaswende!

Je Vipele husika hutokea ukifanya mapenzi na kila msichana ama ni msichana 1 tu?
Vipi ukitumia mpira hua vinatokea pia?

Soma hapa dalili husika na Madhara yake!,


Katika hatua za mwanzo, vipele katika sehemu za
uzazi huanza kujitokeza muda mfupi baada ya
maambukizi ambavyo baadaye hupotea
vyenyewe.
Kama ugonjwa hautatibiwa, maambukizi
huendelea kwa miaka, yakishambulia mifupa,
ubongo na moyo na kusababisha madhara
mengine yanayotokana na matatizo katika
mfumo wa fahamu kama vile homa ya uti wa
mgongo na magonjwa ya moyo na kiharusi .

Ushauri wa bure kimbia hospitali haraka, maana stage one inaonekana ushaanza ipita,

stage two vitajitoleza sehemu nyingine za mwili especial kwenye vidole

stage three kichwani na hapo huponi tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom