T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
salaam wana jf.
naombeni msaada wa haraka.
kuna ndugu yangu anakusa pumzi,unakuta anaanza kukoroma kama mtu aliebanwa koo, then analegea mwili wake baada ya muda unamuona anakakamaa anajinyosha as if mtu anapoteza roho.baadae anapoteza fahamu anakuwa hajitambui.
anakuwa hawezi kupumua hadi umpepee.akizinduka anakuwa nakiu kali kubwa ya maji.ukimuuliza kilichotokea hajui hata kidogo anakushangaa unachomuuliza.
je hili ni tatizo gani???
dawa yake ni nini??? siku zote za maisha yake hajawahi kuwa kuwa na tatizo hili,limeanza kama wiki moja sasa.
naombeni msaada wa haraka.
kuna ndugu yangu anakusa pumzi,unakuta anaanza kukoroma kama mtu aliebanwa koo, then analegea mwili wake baada ya muda unamuona anakakamaa anajinyosha as if mtu anapoteza roho.baadae anapoteza fahamu anakuwa hajitambui.
anakuwa hawezi kupumua hadi umpepee.akizinduka anakuwa nakiu kali kubwa ya maji.ukimuuliza kilichotokea hajui hata kidogo anakushangaa unachomuuliza.
je hili ni tatizo gani???
dawa yake ni nini??? siku zote za maisha yake hajawahi kuwa kuwa na tatizo hili,limeanza kama wiki moja sasa.