Msaada wa haraka kuhusu jino unahitajika!

MAKOLE

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
618
280
Wapendwa, niling'oa jino siku ya ramadhani 3, hadi leo ramadhani 23 kidonda kinanisumbua. nilitumia dozi ya cloxaciline na flagile kwa siku 5 nikarudia siku 5 nyingine baada ya siku 4. Kidonda kinaelekea kufunga lakini kuna maumivu yapo constant, hayapungui wala hayazidi lakini kila nikiingiza pamba natoa usaha uliochanganyika na damu. nna hakika hakuna kipande ndani kwani nikiangalia jino lenyewe ambalo ni namba 18 limetoka lote ila shimo ndio lilikuwa kubwa kwani mizizi ilienda chini sana. Je hii ni hali ya kawaida? Nifanyeje ili kidonda kifunge kabisa? Nawaomba sana mniokoe mwenzenu naumia sana! jino lenyewe katika picha ya hapa chini linafanana na hilo namba 18

Tooth Numbering System.gif
 
Wapendwa, niling'oa jino siku ya ramadhani 3, hadi leo ramadhani 23 kidonda kinanisumbua. nilitumia dozi ya cloxaciline na flagile kwa siku 5 nikarudia siku 5 nyingine baada ya siku 4. Kidonda kinaelekea kufunga lakini kuna maumivu yapo constant, hayapungui wala hayazidi lakini kila nikiingiza pamba natoa usaha uliochanganyika na damu. nna hakika hakuna kipande ndani kwani nikiangalia jino lenyewe ambalo ni namba 18 limetoka lote ila shimo ndio lilikuwa kubwa kwani mizizi ilienda chini sana. Je hii ni hali ya kawaida? Nifanyeje ili kidonda kifunge kabisa? Nawaomba sana mniokoe mwenzenu naumia sana! jino lenyewe katika picha ya hapa chini linafanana na hilo namba 18

View attachment 61690

piga 0756099621 ni kusaidie
 
Back
Top Bottom