Nliwahi kumpa mtu nauli kituoni ubungo..siku iliofuatia akaniomba hela pale pale muda uleule wa jana yake..nkagundua ni tabia yake..na siku ya tatu nkamkuta palepale anapiga debe na wenzie (mateja)
bado tuna ile sumu ya ujamaa ya kukarimu hata maruhani, ipo siku utamwalika jini kwako, tuwe wabinafsi kama wao ili tuweze kupata maendeleo, kenya ukiwa na shida huna wa kumuuliza utakuambia una pesa ngapi ya kuniluza?? huyo mwache aende zake bora uwe mchoyo lakini ujiwekee akiba, huyo tapeli hebuulitakiwa kumuuliza kamaliz achuo gani, mwaka gani nk ungeshangaa majibu ungepewa.next time kuwa makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.