BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,027
- 3,941
Shalom wakuu wa eneo hili. Nilikuwa naandika taarifa fulani muhimu kwenye laptop yangu niliyotaja hapo juu. Umeme ukakatika na uliporudi saa 1 baadae windows 7 premium ikakataa kufanya kazi na screen ikawa blank ila juu upande wa kushoto wa screen kukawa na maneno ya 'BOOTMGR is missing. Press Ctrl+Alt+Del to restart' Nimejaribu kuminya hizo keys zote kwa pamoja na pia moja baada ya nyingine kwa mpangilio huo lakini hakuna kinachoendelea zaidi ya cursor iliyo chini ya ya maneno hayo kuendelea kublink tu bila kusogea popote. Tafadhalini sana wakuu naombeni msaada wa kipi ninachoweza kufanya ili 'kuifufua' laptop yangu ili niendelee na kazi za watu. Shukurani zimetangulizwa...