M mduirwa Member Nov 14, 2014 35 8 May 18, 2015 #1 Mwenye uelewa na dawa ya minyoo, ile ambayo inatoka yenyewe.
M mduirwa Member Nov 14, 2014 35 8 May 19, 2015 Thread starter #4 rose mwakila said: tumia vitunguu swaumu Click to expand... Navitumiaje sasa vitunguu vyenyewe, hebu elekeza kidogo
rose mwakila said: tumia vitunguu swaumu Click to expand... Navitumiaje sasa vitunguu vyenyewe, hebu elekeza kidogo
DOGofGOD JF-Expert Member Feb 15, 2015 1,344 479 May 19, 2015 #5 Tumia Dawa Ya Secnidazole.Ni Nzuri Sana.Dozi Ni Mara Moja Tu.Na Ni Bei Nafuhu.Na Ni Rahisi Kupatikana.Mimi Imenisaidia Sana.
Tumia Dawa Ya Secnidazole.Ni Nzuri Sana.Dozi Ni Mara Moja Tu.Na Ni Bei Nafuhu.Na Ni Rahisi Kupatikana.Mimi Imenisaidia Sana.
rose mwakila Member May 7, 2015 29 4 May 20, 2015 #6 unatwang punje kum afu unawek ndan ya glac maj mot kixh kunyw axuhuh ck 7
Come27 JF-Expert Member Dec 1, 2012 7,500 7,104 Sep 20, 2016 #7 Ivi iyo albendazol inamezwa kwa muda gani. Baada ya dozi kumaliza apo
Kaveli JF-Expert Member Dec 4, 2012 5,120 8,140 Sep 20, 2016 #8 Minyoo inatoka yenyewe ??!! sielewi hapo. Inatokaje yenyewe, kutoka wapi? Hivi kumbe minyoo ni inshu kubwa eeh -Kaveli-
Minyoo inatoka yenyewe ??!! sielewi hapo. Inatokaje yenyewe, kutoka wapi? Hivi kumbe minyoo ni inshu kubwa eeh -Kaveli-
A AGOLA JF-Expert Member Jul 11, 2015 1,451 2,131 Sep 20, 2016 #9 DOGofGOD said: Tumia Dawa Ya Secnidazole.Ni Nzuri Sana.Dozi Ni Mara Moja Tu.Na Ni Bei Nafuhu.Na Ni Rahisi Kupatikana.Mimi Imenisaidia Sana. Click to expand... Hii inasaidia upande wa Amoeba xana.
DOGofGOD said: Tumia Dawa Ya Secnidazole.Ni Nzuri Sana.Dozi Ni Mara Moja Tu.Na Ni Bei Nafuhu.Na Ni Rahisi Kupatikana.Mimi Imenisaidia Sana. Click to expand... Hii inasaidia upande wa Amoeba xana.
T Tyupa JF-Expert Member Aug 11, 2013 802 653 Sep 24, 2016 #10 Una minyoo aina gani na una dalili zipi?