Msaada wa dawa ya kutibu minyoo

Tumia Dawa Ya Secnidazole.Ni Nzuri Sana.Dozi Ni Mara Moja Tu.Na Ni Bei Nafuhu.Na Ni Rahisi Kupatikana.Mimi Imenisaidia Sana.
 
Ivi iyo albendazol inamezwa kwa muda gani. Baada ya dozi kumaliza apo
 
Minyoo inatoka yenyewe ??!! sielewi hapo. Inatokaje yenyewe, kutoka wapi?

Hivi kumbe minyoo ni inshu kubwa eeh

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom