Naomba kama kuna yeyote anaejua dawa ya kuzuia jino kutobolewa na wadudu kwani sasa jino limeanza kutoboka na nipigapo mswaki lazima damu itoke..nitumie dawa gani??
hata mi zamani niliwahi kusikia kuwa dawa ya jino ni kung'oaKang'oe haraka usijepata kansa ya jino
Naomba kama kuna yeyote anaejua dawa ya kuzuia jino kutobolewa na wadudu kwani sasa jino limeanza kutoboka na nipigapo mswaki lazima damu itoke..nitumie dawa gani??