Habari wandugu,
hivi hang-over/mning'inio una dawa? maana hapa nina hang over ya hatari baada ya jana kunywa sana pombe. jamani mwenye kujua dawa naomba anijulishe ili nijitibu.
natanguliza shukrani
mzee wa liverpool, ndo naelekea pub kushitua mbili then nirudi home niingie JF.ila JF imenisaidia sana leo, muda wote nilikuwa nasoma threads,nimejifunza mengi sana humu wakati kakichwa kanauma.
pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.