Msaada wa dawa ya fungus wa vidole vya miguu

IGUDUNG'WA

JF-Expert Member
Oct 22, 2011
2,071
1,314
Ni miaka zaidi ya minne sasa nasumbuliwa na fungus wa miguu, nimetumia dawa kibao ikiwemo vidonge na tubes za kupaka lakini huwa napata nafuu tu wakati nikitumia dozi baada ya hapo tatizo linajirudia. kuna wakati nafikiri huenda hakuna dawa kabisa inayoweza kutibu.

jamani naombeni msaada wenu nitumie dawa gani niweze kuondokana na mateso haya ya miguu kwani kuna wakati vidonda vikizidi napata shida hata kutembea

natanguliza shukran zangu za dhati kwa mawazo yako yatakayo pelekea mimi kuondokana na tatizo hili
 
pole sana mwana jf fungus (tinea pedis or athletes foot) husumbua sana hasa km hukzngatia masharit ya dkt. pamoja na ktumia dawa unashauriwa kuvaa viatu vya waz na visivyobana. pia kama ni lazma kuvaa sox hakikisha unabadili kila cku.sijajua dawa gan umetmia kwanikuna dawa aina mblmbl. kama miconazole cream 2% Unapaka mala 2 kwa ck kwa wik tatu mflrzo na dawa nyngne nyng kwa ushauri zaidi nenda kituo cha afya kilichokaribu yako uonane na mtaalamu kwani fungus inaweza kusababishwa na magonjwa mengne.nakuhakikishia fungus hutbika kbsa uskate tamaa
 
Omba Mungu atakusaidia,,pia udhuria maombi kwa saanaa maana u never know,,,wengine wanashindwa ata kuvua kiatu ugenini!!!
 
Fungus katika ya vidole ni fungus ya kawaida inawezekana wewe mtumiaji sana wa maji, kwani maji huchimbua mwili!! kwahivo vijidudu kama hivo huingia na kupambana na white blood cells lakini kwa kuzidiwa nguvu ndio fungus hujitokeza, kama fungus uliyoisema wewe ni ya kawaida ila ina kero kwakweli.

Kwanza kabisa kama mtumiaji wa maji sana upunguze yaani sio kutumia maji kwa kunywa laa! kutumia maji yaani kuchezea maji inawezekana ukikoga unatumia maji zaidi au kila wakati unakosha miguu yako na mambo kama hayo. Hata hivo ipo dawa

moja na nafikiri inajulikana sana nayo ni
ndimu na jivu. Unachukua jivu unaweka katika sehemu hiyo katikati ya kidole na halafu unanyunyizia ndimu! Dawa nzuri lakini inawasha sana.! Inshallah nafikiri umenifahamu.


Au tafuta Dawa hii Kuna powder inaitwa 'DEODORANT POWDER' "FAA" inapatikana masupermarket, huenda ikawa iko kabila jengine kwani FAA ni sabuni, na hiyo ni powder ambayo pia ni nzuri na inawafaa kwa wale wanaotoka majasho kisha wakatokwa na harufu. Hii powder ukisha kukoga unakuchunja kidole kimoja kimoja na unatia ni uzuri wakati unapokwenda kulala inakausha na pia hutoki harufu ya miguu.

Sababu yake ni kuvaa soksi na boot kwenye nchi za joto ndio hufanya jasho kwenye vidole na kusababisha fungus. kwa hivyo jaribu usikae muda mrefu na soksi na boot au badilisha viatu na usivae soksi.

Au Tafuta Dawa iitwayo Dactarin ambayo ni cream. Hii ni nzuri kutumia mara mwasho unapotokea lakini si iwapo pameshafanya jeraha.


Dawa nyengine ya Fungus ni 'DAKESEN' Prickly Heat Powder - Cooling and Refreshing, inauzwa kwenye masupermarket i . unatia wakati unapokwenda kulala kwa kufungua kidole kimoja kimoja na kutia hiyo powder. InshaAllah kwa uwezo wake Subhana itaondoka.

***HII POWDER NI NZURI SANA PIA KWA WATOTO AU WATU WAZIMA WENYE KUPATA TETE KUANGA UNAKUWA UNAMTUMILIYA MTU KWA KUMPAKA MWILI MZIMA KWA KILA UNAPOKUMBUKA. INAVUNJA NGUVU YA TETE KUANGA NA HAZIENEI NA KUKAUKA KWA HARAKA.

 
The cheapest na more reliable is ur urine, believe me "just pee on them feet". Say asubuhi kabla ya kuoga halafu baada ya kama 5 mins osha miguu/ oga you are done. Kwa nyongeza unaweza kwa unaipaka miguu yako vaselini kufanya ngozi yake iwe laini wakati wote. Mipasuko ya mguu mkavu huwa ni maficho ya fungus.

I was told this by the Dr. and works perfectly.
 
Ni miaka zaidi ya minne sasa nasumbuliwa na fungus wa miguu, nimetumia dawa kibao ikiwemo vidonge na tubes za kupaka lakini huwa napata nafuu tu wakati nikitumia dozi baada ya hapo tatizo linajirudia. kuna wakati nafikiri huenda hakuna dawa kabisa inayoweza kutibu.

jamani naombeni msaada wenu nitumie dawa gani niweze kuondokana na mateso haya ya miguu kwani kuna wakati vidonda vikizidi napata shida hata kutembea

natanguliza shukran zangu za dhati kwa mawazo yako yatakayo pelekea mimi kuondokana na tatizo hili

Paka Dawa inayoitwa SONADERM-GM hiyo ni mchanganyiko wa Clobetasol Propionate, Miconazole Nitrate & Gentamicin Sulphate Cream. Ni dawa nzuri sana maana hata mie nimeitumia sana.

Pia ukiwa Dar pendelea kwenda Beach ama ufukweni na ukakanyage maji ya chumvi yanawasha sana but ndio tiba hiyo.
 
Tumia hii dawa itakusaidia sana "SAPAT LOTION"
Mim nimepona kabisaa kupitia hiyo dawa
 
Paka Dawa inayoitwa SONADERM-GM hiyo ni mchanganyiko wa Clobetasol Propionate, Miconazole Nitrate & Gentamicin Sulphate Cream. Ni dawa nzuri sana maana hata mie nimeitumia sana.

Pia ukiwa Dar pendelea kwenda Beach ama ufukweni na ukakanyage maji ya chumvi yanawasha sana but ndio tiba hiyo.
mkuu hiyo sona derm si ni cream? unataka vidole vyangu view na ngozi ya kujichubua?
 
Nunua vidonge vinaitwa terbunafin 1 x 1 for 5 days. usiache kutujuza ukipona
 
Nunua vidonge vinaitwa terbunafin 1 x 1 for 5 days. usiache kutujuza ukipona


naomba msaada Wadau me nasumbuliwa na fungusi za ngozi mwaka wa 7 sasa natumia vidonge na dawa za kupakaa but zinapona lakini baada ya mwezi zinarudi tena kwa kasi katika sehemu kubwa ya mwili
 
Baada ya kuoga chukua kijiko ya sukari au chumvi sugulia hayo maeneo yaliyoathirika asubuhi na jioni kwa muda wa siku tatu utaona changes
 
Nail fungus ni ngumu sana kupona ila dawa ipo, je.. Ni kucha pekee yake zilizo athirika? Nitumie pm nitakusaidia.
 
dawa ya fungus tafuta aloe unywe pamoja na sabuni ya herbel uwe unatumia itatoweka kabisa
kwa maelezo zaidi wasiliana na Dr 0758768855
nawakilisha
 
Back
Top Bottom