JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,906
- 3,249
Wandugu salaam,
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia Ubuntu as my OS, sasa napata shida ya kukonect na modem ya zantel ambayo ilikuwa inafanya kazi bila shida kwa os nyingine, bila shaka kuna wadau ambao wanatumia hii os na watakuwa wanajua how to config this.
Msaada tafadhari ili niweze kurudi mtandaoni.
JoJiPoJi
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia Ubuntu as my OS, sasa napata shida ya kukonect na modem ya zantel ambayo ilikuwa inafanya kazi bila shida kwa os nyingine, bila shaka kuna wadau ambao wanatumia hii os na watakuwa wanajua how to config this.
Msaada tafadhari ili niweze kurudi mtandaoni.
JoJiPoJi