Msaada wa connection ya Zantel Modem kwa Ubuntu 10.04

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,906
3,249
Wandugu salaam,
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia Ubuntu as my OS, sasa napata shida ya kukonect na modem ya zantel ambayo ilikuwa inafanya kazi bila shida kwa os nyingine, bila shaka kuna wadau ambao wanatumia hii os na watakuwa wanajua how to config this.
Msaada tafadhari ili niweze kurudi mtandaoni.

JoJiPoJi
 
Wandugu salaam,
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia Ubuntu as my OS, sasa napata shida ya kukonect na modem ya zantel ambayo ilikuwa inafanya kazi bila shida kwa os nyingine, bila shaka kuna wadau ambao wanatumia hii os na watakuwa wanajua how to config this.
Msaada tafadhari ili niweze kurudi mtandaoni.

JoJiPoJi


Joji......kuna njia mbili za kuunganisha modem ya zantel kwenye ubuntu.

1. tumia mobile broadband ya ubuntu:
a .right click the network link kwenye system bar hapo juu....halafu click edit connections
b. nenda kweny tab ya mobile broadband, halafu click add connection
c. ipe jina lolote, kwa mfano Zantel.....halafu kwenye vibox hapo chini weka: kwenye number weka #777 kwenye username weka @zantel.com halafu kwenye password weka kitu chochote....mi nimeweka @zantel.com halafu basi
d. chomeka modem, baada ya sekunde kadhaa click connect mobile broadband kwenye network menu hapo

itafanya kazi......ikikataa,

2. njia nyingine ni kutumia wvdial
a. kama huna, kitu cha kwanza ni kuinstall wvdial.....hehehe, sasa hapa itabidi utumie cable internet au wireless ili uweze kuinstall wvidal (sudo apt-get install wvdial)
b. ukishainstall ingiza modem halafu type wvdialconf /etc/wvdia.conf
c. hiyo itadetect modem yako halafu ikimaliza kukoconnect kwenye internet andika sudo wvidial


All the BEST
 
Joji......kuna njia mbili za kuunganisha modem ya zantel kwenye ubuntu.

1. tumia mobile broadband ya ubuntu:
a .right click the network link kwenye system bar hapo juu....halafu click edit connections
b. nenda kweny tab ya mobile broadband, halafu click add connection
c. ipe jina lolote, kwa mfano Zantel.....halafu kwenye vibox hapo chini weka: kwenye number weka #777 kwenye username weka @zantel.com halafu kwenye password weka kitu chochote....mi nimeweka @zantel.com halafu basi
d. chomeka modem, baada ya sekunde kadhaa click connect mobile broadband kwenye network menu hapo

itafanya kazi......ikikataa,

2. njia nyingine ni kutumia wvdial
a. kama huna, kitu cha kwanza ni kuinstall wvdial.....hehehe, sasa hapa itabidi utumie cable internet au wireless ili uweze kuinstall wvidal (sudo apt-get install wvdial)
b. ukishainstall ingiza modem halafu type wvdialconf /etc/wvdia.conf
c. hiyo itadetect modem yako halafu ikimaliza kukoconnect kwenye internet andika sudo wvidial


All the BEST

ahSAnte mkuu, nimejaribu hii ya kwanza ila imekataa na tatizo hapo nilipo siwezi pata cable connection, vp hakuna njia nyingine inayoweza kusaidia
 
ahSAnte mkuu, nimejaribu hii ya kwanza ila imekataa na tatizo hapo nilipo siwezi pata cable connection, vp hakuna njia nyingine inayoweza kusaidia

tafuta wireless internet ujaribu tena.....otherwise niambie ilivyokataa imetoa errors gani?

pia niambie PPP settings zako zikoje......ukienda kwenye edit connection halafu ukaselect ila mobile broadband ya zantel, ukiedit kuna tab moja inasema PPP settings, niambie vitu gani vimetick na vipi havija tick....inavyotakiwa kuwa ni:

a. allow BSD....
b. allow Deflate data....
c. use TCP header.....

vingine vyoote inabidi visiwe checked.....check hivyo vitatu tu!

then jaribu tena halafu niambie.
 
Kaka mi imeniletea matokeo haya hapa chini

george@george-laptop:~$ wvdialconf
Editing `/etc/wvdial.conf'.

Scanning your serial ports for a modem.

Modem Port Scan<*1>: S0 S1 S2 S3


Sorry, no modem was detected! Is it in use by another program?
Did you configure it properly with setserial?

Please read the FAQ at nit.ca

If you still have problems, send mail to <wvdial-list@lists.nit.ca>.
george@george-laptop:~$ wvdialconf
Editing `/etc/wvdial.conf'.

Scanning your serial ports for a modem.

Modem Port Scan<*1>: S0 S1 S2 S3


Sorry, no modem was detected! Is it in use by another program?
Did you configure it properly with setserial?

Please read the FAQ at nit.ca

If you still have problems, send mail to <wvdial-list@lists.nit.ca>.
george@george-laptop:~$ ^C
george@george-laptop:~$


What to do next, maana modem nachomeka lakini haidetect.
 
ubuntu 10.04 inasumbua kdogo ila ubuntu 10.10 nzuri sana,,, fanya hvi click pale kwenye system then preferences halafu click network connections kitatokea kbox kna option nyingi we nenda kwenye mobile broadband click sehem iliyoandikwa Add.. sasa hapo utafuata maelekezo unavyotaka iwe.... ikishindikana nenda internet cafe omba cable... na hapo ikishindikana tafuta ubuntu 10.10....
 
Joji,
tumia same procedure za chifunanga lakini jaza nchi, jina la mtandao basi. Vingine acha default. Search post moja ya ubuntu alianzisha jaluo_nyeupe nimeweka maelezo comprehensive kidogo.

I'll be back once on PC
 
2. njia nyingine ni kutumia wvdial
a. kama huna, kitu cha kwanza ni kuinstall wvdial.....hehehe, sasa hapa itabidi utumie cable internet au wireless ili uweze kuinstall wvidal (sudo apt-get install wvdial)
b. ukishainstall ingiza modem halafu type wvdialconf /etc/wvdia.conf
c. hiyo itadetect modem yako halafu ikimaliza kukoconnect kwenye internet andika sudo wvidial


All the BEST


Njia ya Chifunanga hapo juu imefaa kwenye Ubuntu 14.04.

Nimefanya ifuatavyo:
Open Terminal and do the following,
PHP:
sudo -i
apt-get install wvdial


Chomeka modem kwenye laptop halafu run,
PHP:
wvdialconf /etc/wvdial.conf


Edit "/etc/wvdial.conf" file
Mahali penye "Phone", "Username" na "Password" pajazwe information kama hivi:
Phone = 0775225441
Username = @zantel.com
Password = 225441

Ondoa semicolons (kama zipo) zilizotangulia kwenye mistari yenye hayo maneno matatu.

Press Ctrl + d kwenye terminal au fungua terminal nyingine na uandike,
PHP:
sudo wvdial
And press enter

"sudo wvdial" ni command ya ku-connect kwenye Internet kupitia modem.
To disconnect press Ctrl + c au chomoa modem.


NOTICE: Namba 0775225441 hapo juu ni ya kubuni.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom