Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Wakuu,
Awali ya yote nawasalimu kwa jina la bwana!
Tafadhali naomba mawazo na uzoefu wenu katika biashara, ni ipi ya kufanya. Nina mtaji wa 4M tu nataka nifanye biashara nami nijikwamue kwenye huu umaskini, biashara ya kuku wa kienyeji hiyo ipo out of this, kwani najua naweza anza hata na majike 50 na dume 5,kwa bei ya chini kabisa si zaidi ya 150,000 nina uhakika huo, kwani nipo Iringa nina uwezo wa kuwapata kuku toka vijijini kwani ndo ninakofanyia kazi.
wengine wamenishauri nifanye biashara ya mbao, kutoa mufindi kupeleka dar au arusha, wengine wameshauri biashara ya mafuta ya alizeti, kununua alizeti na kukamua, mie naona mbao ni bora zaidi lakini sina uhakika sana, sasa naomba msaada kwa wale wazoefu au na maoni yenu juu ya hili, pros and cons, ni vema nikaingia nikiwa najua kwa mapana juu ya biashara hii.
Naleta kwenu wakuu.
Awali ya yote nawasalimu kwa jina la bwana!
Tafadhali naomba mawazo na uzoefu wenu katika biashara, ni ipi ya kufanya. Nina mtaji wa 4M tu nataka nifanye biashara nami nijikwamue kwenye huu umaskini, biashara ya kuku wa kienyeji hiyo ipo out of this, kwani najua naweza anza hata na majike 50 na dume 5,kwa bei ya chini kabisa si zaidi ya 150,000 nina uhakika huo, kwani nipo Iringa nina uwezo wa kuwapata kuku toka vijijini kwani ndo ninakofanyia kazi.
wengine wamenishauri nifanye biashara ya mbao, kutoa mufindi kupeleka dar au arusha, wengine wameshauri biashara ya mafuta ya alizeti, kununua alizeti na kukamua, mie naona mbao ni bora zaidi lakini sina uhakika sana, sasa naomba msaada kwa wale wazoefu au na maoni yenu juu ya hili, pros and cons, ni vema nikaingia nikiwa najua kwa mapana juu ya biashara hii.
Naleta kwenu wakuu.