naombeni mnisaidie hapa. Je ni antivirus gan nzuri kwa simu yangu? Natumia Samsung Galaxy Pocket.
Natanguliza shukrani za dhati.
naombeni mnisaidie hapa. Je ni antivirus gan nzuri kwa simu yangu? Natumia Samsung Galaxy Pocket.
Natanguliza shukrani za dhati.
kwanza antvirus za simu ovyo wala hazidaki hao virus nilikaa na virus nawaona wanahide folders na kuficha data na kucreate mafile yake ya kishenz yale ya porn nilijaribu antvirus nyingi za simu unascan unamaliza hata havitoki.
Mi nashauri bora simu ikae bila antvirus then uwe na kawaida maybe kila wiki unascan simu yako na antvirus ya pc yako.
Source kubwa ya virusi kwa simu ni simu za kichina avoid contact nazo hasa kwa bluetooth
kwanza antvirus za simu ovyo wala hazidaki hao virus nilikaa na virus nawaona wanahide folders na kuficha data na kucreate mafile yake ya kishenz yale ya porn nilijaribu antvirus nyingi za simu unascan unamaliza hata havitoki.
Mi nashauri bora simu ikae bila antvirus then uwe na kawaida maybe kila wiki unascan simu yako na antvirus ya pc yako.
Source kubwa ya virusi kwa simu ni simu za kichina avoid contact nazo hasa kwa bluetooth
chief-mkwawa,mimi nina tatizo hilo na nahitaji kupaelewa hapo kwenye red.Nataka kuiscan simu kwa pc antivirus lakini sijui nifanyeje.Nimeiunganisha kwa usb lakini haisomi nilitegemea isome ili niweze kuscan kwenye option ya scan removable devices.Msaada please nifanyeje.Natumia avastkwanza antvirus za simu ovyo wala hazidaki hao virus nilikaa na virus nawaona wanahide folders na kuficha data na kucreate mafile yake ya kishenz yale ya porn nilijaribu antvirus nyingi za simu unascan unamaliza hata havitoki.
Mi nashauri bora simu ikae bila antvirus then uwe na kawaida maybe kila wiki unascan simu yako na antvirus ya pc yako.
Source kubwa ya virusi kwa simu ni simu za kichina avoid contact nazo hasa kwa bluetooth
naombeni mnisaidie hapa. Je ni antivirus gan nzuri kwa simu yangu? Natumia Samsung Galaxy Pocket.
Natanguliza shukrani za dhati.