congobe
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 561
- 129
huyu jamaa mpiga picha ,tumefanya mkataba baada ya kuwa kazi imekwisha fanyika order yangu ni picha 100 tu, katoa picha 165 tumekwenda polisi nika notes kitu jamaa wana force nimlipe tu kwa kuwa ashafanya kazi walichoni kwaza police ni kunitamkia kwamba hata nikienda mahakamani mi sina haki ya kudai ,ndipo sasa nikaona huu ni utani ka kuwa wanmfahamu sana jamaa hivyo wanataka nimlipe tu,so mkataba unasema picha ni 100 na 65 zimeongezeka na bada ya hizo kuongezeka hapatakuwa ongezeko lolote la picha na shahidi yetu ni afisa wa police , je imekaaje hii ? man ndugu.