web engineer
Member
- Mar 19, 2012
- 55
- 0
Salam
naombeni msaada wa chuo chochote nchini India au Malasiya cha Bachelor in computer engineering.
Tafadhali kiwe na bei nafuu kwa mtanzania kama mimi.
Mchango wenu jamani nautegemea.Pia na ushauri
naombeni msaada wa chuo chochote nchini India au Malasiya cha Bachelor in computer engineering.
Tafadhali kiwe na bei nafuu kwa mtanzania kama mimi.
Mchango wenu jamani nautegemea.Pia na ushauri