neyl
Senior Member
- Nov 23, 2011
- 127
- 19
habari, me nmegraduate sheria juz juz tu, nlwah kusikia tetesi kwenye daladala kwamba vodacom pale mliman city kuna nafasi za kumwaga za customer care ila wanalipa mshahara mdogo, jaman kwa mwenye details ni kwel? me natafuta kaz hata ya lak na nusu kwa mwez nafanya