Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Najiuliza kila siku eti zile vita zinazoitwa vita za dunia(1&2) zilikuaje?? Kwamba kila nchi inakuwa kwenye mapigano?? Unapigana na nani na kwanini?? Au yoyote yule aliye mbele yako halali yako? Pia zillikuwa zinaanza siku moja kwa mpigo au? Maana sielewi elewi wakuu!! Mtu mwenyewe wa 1980s mimi