Habari za leo wana JF wenzangu? Ninakuja tena jamvini nikiwa nimeelemewa na tatizo ambalo kiukweli linaninyima usingizi maana sijui kabisa namna ya kulitatua. Iko hivi:
Mke wangu ana umri wa miaka 36 lakini uzito wake mpaka unanitisha! Anaongezeka sana. Jana alipima akakuta ana kilo 110. Naombeni ushauri afanyeje ili apungue maana najua kuna magonjwa mengi yanayotokana na uzito mkubwa. Asanteni!
Mke wangu ana umri wa miaka 36 lakini uzito wake mpaka unanitisha! Anaongezeka sana. Jana alipima akakuta ana kilo 110. Naombeni ushauri afanyeje ili apungue maana najua kuna magonjwa mengi yanayotokana na uzito mkubwa. Asanteni!