Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,859
- 1,301
Dr Kaisi hapractice siku hizi, alipatata stroke, anafundisha tu.
Kupata stroke ni rahisi kutokana na kuchungulia chungulia nyeti za mama zetu. Bahati yake angepata kichaa kabisa.:wink2:
Hakika watu kama wewe mnapaswa kuombewa. Yaani watu wanajadili suala nyeti halafu wewe unatukana kiasi hicho? Unafikiri dr. anapenda kuchungulia hivyo vitu? si ni katika harakati za kugundua na kuwaponya magonjwa yao?
Nadhani mods mmechoka siku hizi!