Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
Naamin humu JF ndio kila ki2,wapendwa naomben ushauri kuhusu hili,wiki kadhaa zilizopita niliapply nafasi ya kazi Nairobi,ambayo tangazo lake nililiona humu JF,walinitumia email ya kwanza kunitaarifu kuwa wameipata application yang na wamereview imepita kwenye hatua ya kwanza hivyo wanaendelea na process,wiki hii wakanitumia tena email wanasema wameconfirm kunipa kaz hivyo na wakanipa terms and conditions za kampun na wakaniomba niaccept initial offer,kinachonishangaza ni kwamba hawajaniita kwenye usahili/interview na kwenye barua yao wanasema ksh 1000 kwa ajili ya registration ya course fupi ya international certificate of nutritionist,sasa nashindwa kuamini,au ni shemeji zetu wale wa nigeria? Hiv unaweza kupata kaz bila interview? Hasa professinal jobs? Nishaurin wandugu